Paris Saint-Germain inaitangulia Manchester City katika mbio za kumfukuzia nyota wa Arsenal Alexis Sanchez Januari, The Mirror limeripoti.
Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Chile unafikia ukomo mwisho wa msimu huu, na PSG imeripotiwa kuwa kwenye mchakato wa kumsajli kwa mkataba wa awali wanapojipanga kumruhusu Neymar kwenda Real Madrid msimu ujao wa majira ya joto.
Maoni
Chapisha Maoni