Athletic Bilbao imethibitisha kwamba Manchester City imewasilisha ada kwa ajili ya kuvunja mkataba wa Mfaransa Aymeric Laporte, ikiaminika kuwa wenye thamani ya € 65m. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 atajiunga na kikosi cha Pep Guardiola mwishoni mwa wiki hii.
Maoni
Chapisha Maoni