Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Luis Suarez na Messi waingoza Barcelona katika ushindi.

Usiku wa jana ulikuwa usiku wa kipekee kwa vijana wa Catalonia baada ya kupata ushindi wa kutokea nyuma dhidi Alavez na kushinda [2-1]

Atletico Madrid ya walishinda 3-0 dhidi ya Las Palmas mapema Jumapili iliweka msimamo wa shinikizo kwa viongozi wa ligi na vijana wa Ernesto Valverde.

Philippe Coutinho alianza tangu dakika ya kwa kabla ya kufanyiwa substitution na kuingia Paco Alcacer.

Msimamo wa Alavez unabaki pointi mbili juu ya eneo la kushuka daraja na waliachwa kwenye taharuki walipataopoteza nafasi wakati Luis Suarez funga bao la kwanza dakika ya 72 na Messi kupigilia msumari wa pili na wa ushindi dakika ya 81.

Kwa sasa Messi ndio kinara wa mabao katika ligi ya Uhispania, La Liga akiwa na mabao 20.

Barcelona inabakia kileleni kwa pointi 11 dhidi ya vijana wa Diego Simeon, Atletico Madrid.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Nitapindua dunia juu chini ili kubaki kama meneja wa Arsenal

Uongozi wa timu ya Arsenal wamemgeukia meneja wao, Arsene Wenger na kuanza kuorodhesha majina mbadala kuchukua nafasi yake. Wenger anasema "atapindua dunia chini juu" ilikubaki kama meneja wa Arsenal Kazi yake katika timu hiyo iliwekwa utatani wakati alipokataa kudhibitsha kama ataendelea na mkataba wake unaoisha 2019. (Mirror) Aliyekuwa rais wa timu ya Barcelona Joan Laporta, amesema anawahimiza Arsenal kumfikiria Thierry Henry kama mbadala wa Wenger.(Telegraph)

Robert Lewandowski mfungaji bora Bundesliga 2017/2018

Robert Lewandowski amemaliza msimu wa 2017/18 wa Bundesliga akiwa mfungaji bora kwa mara ya 3 kwenye maisha yake ya soka. : • 30 games • 29 goals

Je Barcelona wataweza kuvunja rekodi hizi?

Hadi sasa miamba  ya Catalunya Fc Barcelona haijapoteza mchezo hata mmoja katika ligi kuu nchini Hispania na wanaonekana wanaweza kuweka rekodi ya kuwa timu pekee kumaliza La Liga bila kupoteza, lakini je na haya yafuatayo wataweza? Magoli 121, Jose Mourinho msimu wa 2011/2012 alimaliza La Liga akiwa na mabao 121, hadi sasa Barcelona wana mabao 70 na itawabidi kufunga mabao 51 katika mechi zao 11 zilizobaki ili kuifikia rekodi ya Mourinho. Zamora award, hii ni tuzo ya kipa aliyefungwa mabao machache, Francisco Liano mlinda lango wa zamani wa klabu ya Sporting Gijon anashikilia rekodi ya kufungwa mabao machache zaidi La Liga, mabao 18 (1993/1994). Hadi sasa mlinda lango wa Atletico Madrid Jan Oblak ameruhusu mabao 12 katika lango lake huku golikipa wa Barcelona Marc Andre Stegen akiwa ameruhusu mabao 13 hadi sasa, na anasubiriwa kati ya hawa nani atavunja rekodi ya Liano. Real Sociedad record, Barcelona hawajapoteza katika michezo 32 ya La Liga na wamevunja rekodi ya Pep G...