Usiku wa jana ulikuwa usiku wa kipekee kwa vijana wa Catalonia baada ya kupata ushindi wa kutokea nyuma dhidi Alavez na kushinda [2-1]
Atletico Madrid ya walishinda 3-0 dhidi ya Las Palmas mapema Jumapili iliweka msimamo wa shinikizo kwa viongozi wa ligi na vijana wa Ernesto Valverde.
Philippe Coutinho alianza tangu dakika ya kwa kabla ya kufanyiwa substitution na kuingia Paco Alcacer.
Msimamo wa Alavez unabaki pointi mbili juu ya eneo la kushuka daraja na waliachwa kwenye taharuki walipataopoteza nafasi wakati Luis Suarez funga bao la kwanza dakika ya 72 na Messi kupigilia msumari wa pili na wa ushindi dakika ya 81.
Kwa sasa Messi ndio kinara wa mabao katika ligi ya Uhispania, La Liga akiwa na mabao 20.
Barcelona inabakia kileleni kwa pointi 11 dhidi ya vijana wa Diego Simeon, Atletico Madrid.
Maoni
Chapisha Maoni