Klabu za Real Madrid na PSG zinavutiwa na mshambuliaji wa Juventus Paulo Dybala. Mtazamo wa Argentina unaonekana kama mbadala ya Neymar kwa vilabu vyote viwili.
Zaidi ya hayo, Juventus haina kipingamizi katika kumuuza Muargentina huyo mwenye umri wa miaka 24 na tayari imemtaja Isco kama mbadala wa nafasi hiyo.
Pia PSG wanamuona kocha wa Juventus Massimiliano Allegri kama mbadala wa kocha wao ambaye hakuwa na matokeo mazuri hivi karibuni katika ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya miamba ya soka ya Hispania Real Madrid, Unai Emery.
Japo kocha wa zamani wa Barcelona Lois Enrique alikuwa katika nafasi ya juu kabisa ya vigogo hao lakini kuja tetesi huenda akatimkia England.
Maoni
Chapisha Maoni